STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 28 Septemba 2014

LOUIS VAN GAAL APOTEZEA MAJADALA KUHUSU KADI NYEKUNDU YA WAYNE ROONEY

Manchester United captain Wayne Rooney lashed out at West Ham's Stewart Downing and was sent off
Nahodha wa Manchester United, Wayne Rooney alitolewa nje kwa kadi nyekundu

LOUIS van Gaal amejiondoa katika mjadala ulioanza kuhusu Wayne Rooney ambapo watu wanahoji kama anafaa kuwa nahodha wa Manchester United kufuatia kuoneshwa kadi nyekundu iliyotokana na kumfanyia faulo ya kinyama mchezaji wa West Ham jana Old Trafford.
Rooney alioneshwa kadi nyekundu ya sita katika maisha yake ya soka baada ya kumpiga teke Stewart Downing na kuwaacha wenzake wakiwa 10 kulinda ushindi wa 2-1 kwa zaidi ya nusu saa.
Lakini Van Gaal amepotezea maneno yanayoendelea kuwa yawezekana alifanya makosa kumteua Rooney kuwa nahodha, lakini Mholanzi huyo ametoa hoja kuwa kitendo hicho ni cha kawaida katika mpira wa miguu.
Rooney is shown the red card by referee Lee Mason in the 59th minute as Downing (left) lies on the floor
Rooney akioneshwa kadi nyekundu na mwamuzi Lee Mason katika dakika ya 59 baada ya kumfanyia faulo mbaya Downing (kushoto aliyelala) 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox