STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 27 Septemba 2014

MANGALA ALMANUSURA AIHARIBIE SIKU MANCHESTER CITY....LAMPARD, NI 'HATAREEE'!

Frank Lampard is congratulated by Pablo Zabaleta after scoring Manchester City's fourth and final goal at the KC Stadium
Frank Lampard akipongezwa na Pablo Zabaleta baada ya kuifungia Manchester City bao la nne

MANCHESTER City wamerudi katika njia ya ushindi kufuatia kuibuka na ushindi wa 4-2 ugenini dhidi ya Hull City uwanja wa KC.
 Eliaquim Mangala alifanya makosa yaliyowafanya Manchester City wafungwe mabao mawili.
Mabingwa hao wa EPL walipoilipa FC Porto paundi milioni 32 kumsajili Mangala na kuweka rekodi ya beki ghali zaidi katika historia ya soka la England, walitaka na malengo ya kupunguza magoli.
Hata hivyo, Mfaransa huyo amejifunga goli na kusababisha penalti iliyotia kambani na kupelekea vijana wa Manuel Pellegrini kufuta magoli mawili waliyokuwa wanaongoza.
Mabao mawili ya kuongoza ya City yalifungwa dakika za mapema na Sergio Aguero na Edin Dzeko.
Lampard was in the right place at the right time to convert Zabaleta's cross for his fourth goal in his last three matches
Lampard alikaa eneo zuri kwa ajili ya kumalizia krosi ya Zabaleta
Edin Dzeko celebrates his strike to put Manchester City 3-2 ahead against Hull City
Edin Dzeko akishangilia baada ya kuifungia Man City goli la tatu dhidi ya  Hull City

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox