MENEJA wa klabu ya
Chelsea, Jose Mourinho amemtupia lawama Cristiano Ronaldo kwa kushindwa
kwake kunyakuwa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya wakati akiinoa Real
Madrid. Mourinho alijiunga na na Madrid mwaka 2010 baada ya kuisaidia
Inter Milan kunyakuw ataji hilo lakini katika msimu mitatu aliyokuwa
Santiago bernabeu alishindwa kabisa kupata mafanikio barani Ulaya akiwa
ameambulia kuingoza timu hiyo mpaka hatua ya nusu fainali katika kipindi
chote hicho. Mara ya mwisho Mourinho kukaribia kutinga fainali ya
michuano ya hiyo ilikuwa msimu wa mwaka 2011-2012 wakati walipokwenda
katika hatua ya changamoto ya mikwaju ya penati baada ya muda wa
nyongeza katika nusu fainali ya pili lakini walitolewa baada ya nyota
wake akiwemo Ronaldo, Kaka na Sergio Ramos kukosa penati
muhimu. Akihojiwa Mourinho ametamba kuwa kushinda taji la michuano hiyo
mara mbili kama imefanya kazi yake hiyo kuwa ya kipekee. Mourinho
amesema amekuwepo katika nusu fainali kadhaa na baadhi imekuwa ngumu
kukubali kushindwa kama goli walilofungwa na Liverpool wakati akiwa na
Chelsea mwaka 2005 pamoja matuta ya mwaka 2011 wakati mchezaji wao
tegemeo Ronaldo alipokosa penati ya kwanza.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Jumatatu, 15 Septemba 2014
MOURINHO AMWANGUSHIA LAWAMA RONALDO KWA KUSHINDWA KWAKE KUFANIKIWA MADRID.
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni