STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 29 Septemba 2014

PANDE MBILI ZA NAHODHA WA MANCHESTER UNITED WAYNE ROONEY

Wayne Rooney is gutted at referee Lee Mason brandishes a straight red card 
Wayne Rooney alioneshwa kadi nyekundu ya moja kwa moja na mwamuzi Lee Mason kwenye mechi ya ligi kuu England dhidi ya West Ham. United ilishinda 2-1.
The two sides of Wayne Rooney - third most Premier League goals but in the top-10 all time booked players
Pande mbili za Wayne Rooney - mfungaji bora namba tatu wa wakati wote katika michuano ya ligu kuu, lakini ndiye mchezaji anayeongoza kwa kadi nyingi nyekundu kati ya wachezaji 10 bora (kadi 6)
This graphic shows how crazy Wayne Rooney's foul on Stewart Downing was - there were four covering defenders 
Mchoro ukionesha jinsi Rooney alivyomfanyia faulo mbaya Stewart Downing . Angalia kulikuwa na mabeki watatu ambao wangezuia hatari

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox