STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 11 Septemba 2014

SIMBA YAWAKOSA VITA, SASA KUKIPIGA NA URA YA UGANDA



Simba imeshindwa kuwapata AS Vita kutokana na wachezaji wake nane kubanwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya DR Congo.

Kutokana na hali hiyo, imeamua kuwaagiza wababe wake, URA ya Uganda.
URA wanatarajia kuwasili leo kwa ajili ya kuwavaa Simba kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar.
URA ina rekodi ya kuitambia Simba kila wanapokutana katika mechi za kirafiki au mashindano.
Hivyo katika mechi hiyo ya kirafiki ya kesho, Simba itakuwa na kasi ya 'kuitoboa' ngome ya URA ambayo huwa 'inaitesa' Simba inavyotaka yenyewe.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox