Simba imeshindwa kuwapata AS Vita kutokana na wachezaji wake nane kubanwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya DR Congo.
Kutokana na hali hiyo, imeamua kuwaagiza wababe wake, URA ya Uganda.
URA ina rekodi ya kuitambia Simba kila wanapokutana katika mechi za kirafiki au mashindano.
Hivyo
katika mechi hiyo ya kirafiki ya kesho, Simba itakuwa na kasi ya
'kuitoboa' ngome ya URA ambayo huwa 'inaitesa' Simba inavyotaka yenyewe.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni