STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 9 Septemba 2014

UJUMBE WA BALOTELLI KWA WANAFUNZI WOTE DUNIANI, JAMAA KUMBE KICHWANI ZIMO


Super Mario: Balotelli amewaandikia ujumbe mzuri watoto wakirejea shule wiki hii
 
PAMOJA na kuonekana kama mchezaji mtukutu uwanjani, lakini Mario Baloteli ameonyesha ni mtu anayejali masuala ya elimu baada ya kuposti ujumbe mzuri wa kuwatakia kila la heri wanafunzi wakirejea shuleni wiki hii.
Mshambuliaji huyo wa Liverpool ameandika kwenye akaunti yake ya Instagram ujumbe usemao: "Hi watoto, leo mnaanza shule kwenye nchi nyingi. Ni kama mwanzo wa msimu kwenye soka. Huo ni wakati wa kufanya vizuri ili kujenga mustakabali mzuri wa maisha yako. Kila la heri!'
Ujumbe huo ameuambatanisha na video fupi, amnayo mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 aliyewahi kuchezea pia Manchester City, Inter Milan na AC Milan amesema: "Soma kwa vidii na chez a kwa bidii, nawatakia watoto wote kila la heri katika siku yako ya kwanza shule,".

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox