STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 30 Septemba 2014

WAYNE ROONEY AIOMBA RADHI KWA KADI NYEKUNDU YA KIZEMBE

Wayne Rooney amewaomba radhi Wachezaji wenzake kwa kutolewa nje kwa Kadi Nyekundu kwenye Mechi ya Ligi Kuu England Jumamosi huko Old Trafford wakati Manchester United inaifunga West Ham. 

 

Rooney alipewa Kadi Nyekundu katika Dakika ya 54 na Refa Lee Mason kwa kumchezea Rafu Stewart Downing na amesema hana mpango wa kukata Rufaa. 
Kutokana na Kadi hiyo, Rooney atazikosa Mechi 3 za Ligi ambazo ni dhidi ya Everton, WBA na Chelsea na atarejea Uwanjani Novemba 2 kwenye Dabi ya Jiji la Manchester dhidi ya Man City kwenye Mechi ya Ligi Kuu England.
Kuhusu Kadi hiyo, Bosi wa Man United, Louis van Gaal, alikiri kuwa ilistahili kwani alikosea jinsi ya kumsimamisha Downing aliekuwa akichanja mbuga . 

Mwenyewe Rooney ameeleza: “Nilimwona Mchezaji wa West Ham akifanya kaunta ataki na mimi nilijaribu kuvunja hiyo lakini nilikosea namna ya kumzuia. Nimefarijika wenzangu walilinda Bao zetu na tumeshinda.”

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox