STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 23 Oktoba 2014

Atletico Madrid moto chini, Juve yafa Galatasaray wanyukwa 4


Captain Diego Godin celebrates scoring Atletico Madrid's fourth goal against Malmo with teammate Joao Miranda
Nahodha Diego Godin akifurahia bao lake wakati Atletico Madrid wakiiangamiza Malmo
Pajtim Kasami
Muuaji aliyeizamisha Juventus akishangilia bao lake
Reus
Dortmund wakipongeza
Reus

ATLETICO Madrid imeendelea rekodi yake ya kutopoteza mchezo wowote nyumbani kwake baada ya usiku wa kuamkia leo kuwatungua Malmo ya Sweden mabao 5-0, huku Juventus ikilala ugenini kwa bao 1-0 dhidi ya Olympiacos.
Vijana wa Diego Simeone waliocheza mechi ya fainali za michuano hiyo msimu uliopita walipata mabao yake kupitia kwa Koke, Mandzukic, Griezmann, Godin na Cerci na kufanya Atletico kufikisha pointi 6 sawa na Olympiacos waliowanyoa Juvetus.
Katika mechi nyingine za michuano hiyo   Bayer Leverkusen walishinda nyumbani mabao 2-0 dhidi ya Zenit, Monaco ikang'ang'aniwa nyumbani na Benfica kwa kutoka suluhu, Galatasaray wakafa nyumbani kwa mabao 4-0 kichapo walichopewa na Borussia Dortmund.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox