STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 14 Oktoba 2014

KUMBE HATA ULAYA! MWAMUZI APIGWA KONDE BAADA YA KUTOA KADI

Kipa wa zamani wa kimataifa wa Bosnia, ametoa kali baada ya kumtwanga mwamuzi konde kali.

Romeo Mitrovic, alimpiga mwamuzi konde katika mechi ya daraja la pili, baada ya kulambwa kadi ya njano.

Kipa huyo aliyewahi kuichezea timu yake ya taifa mwaka 2006 ilipochapwa mabao 2-0 dhidi ya Korea Kusini, alionyesha kukerwa na kadi hiyo, hivyo kuchukua uamuzi huo mkali.

Alionyesha kadi baada ya kupoteza muda, ilionekana kipa huyo wa HNK Branitelj kama alifanya mzaha.

Haraka akamkimbilia mwamuzi na kumchapa konde, mwamuzi akatimua mbio kuomba msaada wa askati ambao walimzunguka wakati akimpa kipa huyo kadi nyekundu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox