STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 23 Oktoba 2014

MASTAA MAN UNITED WADHARAU MAGARI YA WADHAMINI CHEVROLET NA KUSUKUMA MIKOKO YAO WENYEWE.

Mshambuliaji nyota wa United akitinga uwanja wa mazoezi na gari lake la kifahari aina ya Porche 911.

Nahodha wa United Wayne Rooney akitinga na mkoko wake matata aina ya Range Rover "Overfinch".

Kocha msaidizi Ryan Giggs akiwa ndani ya gari lake aina ya Range Rover.

Marouane Fellaini naye ni mmoja wa mastaa waliogoma kutumia Chevrolet pichani anaonekana akitinga mazoezini na Marcedes.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox