STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 21 Oktoba 2014

MOURINHO AMCHANA DEL BOSQUE KUHUSU COSTA.

MENEJA wa klabu ya Chelsea, Jose Mourinho amekosoa huduma ya baadhi ya wachezaji wake katika majukumu ya kimataifa baada ya kubainisha kuwa Diego Costa anatarajiwa kukoa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Maribor kesho. Mourinho alithibitisha Costa ambaye pia alikosa mchezo wa mwishoni mwa wiki iliyopita dhidi ya Crystal Palace walioshinda mabao 2-1 kutonesha majeruhi ya msuli wa paja wakati akiitumikia Hispania katika mechi dhidi ya Slovakia na Luxembourg. Kocha huyo amesisitiza kutokuwa na mawasiliano na kocha wa timu ya taifa ya Hispania au madaktari wa timu hiyo kuhusu hali ya Costa kabla mchezaji huyo hajajiunga nao. Mourinho amedai Costa anasumbuliwa na tatizo lilelile na anadhani kama wangewasiliana mapema na Del Bosque na kuzungumzia hali ya mchezaji huyo anadhani mambo yangekuwa tofauti.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox