MENEJA wa klabu ya
Chelsea, Jose Mourinho amekosoa huduma ya baadhi ya wachezaji wake
katika majukumu ya kimataifa baada ya kubainisha kuwa Diego Costa
anatarajiwa kukoa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Maribor
kesho. Mourinho alithibitisha Costa ambaye pia alikosa mchezo wa
mwishoni mwa wiki iliyopita dhidi ya Crystal Palace walioshinda mabao
2-1 kutonesha majeruhi ya msuli wa paja wakati akiitumikia Hispania
katika mechi dhidi ya Slovakia na Luxembourg. Kocha huyo amesisitiza
kutokuwa na mawasiliano na kocha wa timu ya taifa ya Hispania au
madaktari wa timu hiyo kuhusu hali ya Costa kabla mchezaji huyo
hajajiunga nao. Mourinho amedai Costa anasumbuliwa na tatizo lilelile na
anadhani kama wangewasiliana mapema na Del Bosque na kuzungumzia hali
ya mchezaji huyo anadhani mambo yangekuwa tofauti.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Jumanne, 21 Oktoba 2014
MOURINHO AMCHANA DEL BOSQUE KUHUSU COSTA.
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni