STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 16 Desemba 2014

HANS VAN DER PLUIJM ATUA DAR USIKU TAYARI KUCHUKUA NAFASI YA MAXIMO

PLUIJM AKIWA NA MENEJA WA YANGA, HAFIDH SALEH ALIYEKWENDA KUMPOKEA KWENYE UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE (JNIA) BAADA YA KUWASILI SAA NANE NA NUSU NA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETHIOPIA.

Kocha Hans van Der Pluijm ametua jijini Dar es Salaam, tayari kuchukua nafasi ya Marcio Maximo.

Pluijm amewasili usiku wa kuamkia leo, lakini akakataa katakata kuweka wazi kwamba yuko tayari kuchukua nafasi hiyo.
GARI LILILOMBEBA PLUIJM LIKIONDOKA ENEO LA TUKIO...

Badala yake, Pluijm amesema amekuja nchini kwa ajili ya kufanya mazungumzo na uongozi wa Yanga.

“Ngoja nifanye mazungumza na uongozi wa Yanga, halafu tutaongea,” alisema.


Pluijm aliondoka Yanga kwenda Al Shaolah FC ya Saudi Arabia ambayo ilimzingua, akaamua kubwaga manyanga.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox