STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 4 Desemba 2014

MADRID YAMWAGA MAMILIONI KWA WACHEZAJI, SAA YA SH MILIONI 40 KILA MMOJA

Saa aina ya Panerai Radiomir GMT Oro Rosso
Carlo Ancelotti na vijana wake wa Real Madrid wamesherekea ushindi wao wa Ligi ya Mabingwa kwa kupewa zawadi.

Ingawa ni kitambo tokea watwae ubingwa huo, lakini uingozi wa Madrid hakuliona hilo na kuamua kuwatuza.
Kila mchezaji amepewa pauni 392,000 (zaidi ya Sh milioni 666).
Pamoja na kitita hicho, kila mchezaji na benchi zima la ufundi wamepewa saa zenye thamani ya pauni ya 24,000 (Sh milioni 40).


Saa hizo aina ya Panerai Radiomir GMT Oro Rosso ni kati ya zile zinazovaliwa na watu maarufu au matajiri duniani.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox