STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 12 Desemba 2014

MLIBERIA SHERMAN ASAINI MKATABA WA MIAKA MIWILI KUICHEZEA YANGA

SHERMAN (KULIA) AKIWA NA MENEJA WA YANGA, HAFIDHI SALEH.
                
 
Kpah Sherman amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Yanga.

Mshambuliaji huyo raia wa Liberia amesaini mkataba wa kuichezea Yanga kwa miaka miwili leo jioni.

Mkataba wake mpya unaweka rekodi mpya ya kuwa mchezaji wa kwanza wa Liberia kuichezea Yanga.

Timu pekee iliyowahi kuwa na mchezaji Mliberia ni Simba ambayo ilimiliki William Fanbullar ambaye alikipiga kuanzia mwaka 1997 hadi 1999.

Tayari Sherman amefanya mazoezi mara mbili na kikosi chake cha Yanga na sasa yuko tayari kwa ajili ya mechi ya kesho.
Credit: Saleh Jembe

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox