STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 11 Desemba 2014

VIDEO: AMA KWELI KUNA GOLI NA MIGOLI YA HATARI, HEBU ANGALIA BAO HILI LILILOFUNGWA NA DEJAN STANKOVIC. KAMA ANGEFUNGA RONALDO AU MESSI LINGEKUWA LA KARNE


stank 1
Mchezaji wa zamani wa kimataifa toka nchini Serbia Dejan Stankovic amekumbushia bao lake aliloifungia timu yake ya Inter Milan dhidi ya Genoa mnamo mwaka 2009…
Watu wengi waliipa nafasi Genoa kuifunga Inter iliyoanza msimu vizuri kwa kufunga mabao tisa kwenye mechi nne za ufunguzi wa msimu,Inter ilikuwa na janga la majeraha baada ya washambuliaji wake Samuel Eto’o na Diego Milito kuwa majeruhi.
Lakini Nerazzurri ikiwa inaongoza mabao 2-0 dakika chache kabla ya mapumziko ndipo dunia iliposhuhudia maajabu ya bao la.
“mara zote watu wanaponiuliza juu ya bao langu bora huwa tayari wana majibu. Amelia, aliyekuwa golikipa wa Genoa alishindwa kuudaka mpira baada ya kurudishiwa na beki wake ikambidi aupige mbele ndipo ukamkuta Stankovic aliyeurudisha na kuingia kimiani.
stank
“Nakumbuka siku iyo wachezaji wenzangu pamoja na benchi zima la ufundi likiongozwa na Mourinho wakati huo walinikumbatia na kunipongeza kwa bao

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox