STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 4 Januari 2015

Azam yafufuka Zanzibar yainyoa KMKM

AZAM FC imezidnuka kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya kupata ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Mabingwa wa Zanzibar, KMKM katika mechi iliyochezwa usiku wa jana kwenye uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Bao pekee la Azam liliwekwa kimiani katika dakika ya 18 kutokana na kujifunga kwa nahodha wa KMKM, Khamis Ali akijaribu kuokoa mpira wa krosi ya Shomari Kapombe.
Ushindi huo umeifanya Azam kufikisha pointi 4 na kulingana na timu ya KCCA waliotoshana nao nguvu katika mechi yao ya kwanza walipofungana mabao 2-2.
Michuano hiyo inatarajiwa kuendelea leo kwa michezo ya Kundi C Mafunzo wakivaana na Mtibwa Sugar majira ya saa 10:00 jioni uwanja wa Amaan kabla ya usiku Simba watashuka dimbani kuchuana na JKU.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox