STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 4 Januari 2015

MOYES AITIBULIA BARCELONA BAADA YA KUICHAPA 1-0

Real Sociedad's Xabier Prieto (right) attempts to claim the goal after Alba's header on two minutes
Real Sociedad wakishangilia bao la kujifunga la Barcelona
Former Liverpool striker  Suarez (left) competes with Real Sociedad's Alberto de la Bella as Barcelona chase the game
Suarez akichuana na mchezaji wa Real Sociedad
Barcelona enforcer Javier Mascherano (left) holds off Canales of Real Sociedad during the first half
Javier Mascherano akiwania mpira katika pambano ambalo Barcelona ililala bao 1-0
BAO la kujifunga la dakika ya pili lililotumbukizwa wavuni na Jordi Alba kwa kichwa katika harakati za kuokoa mpira zimeikwamisha Barcelona kukwea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya Hispania baada ya kukubali kichapo cha bao 1-0 ugenini dhidi ya Real Sociedad inayonolewa na kocha David Moyes.
Barcelona walikuwa na nafasi ya kuiengua Real Madrid waliofungwa mabao 2-1 ugenini na Valencia, walishtukizwa na kipigo hicho ambacho na hasa baada ya kuwaanzisha benchi nyota wake Lionel Messi, Neymar na wengine kabla ya kuwaingia ili kuibeba biola mafanikio.
Kwa kipigo hicho Barcelona imesaliwa na pointi 38 ikishika nafasi ya pili nyuma ya Real Madrid yenye pointi 39 ikiwa na mchezo mmoja mkononi, huku Atletico Madrid ikiwa na pointi 38 wakishika nafasi ya tatu.
Ligi hiyo ya Hispania itaendelea leo kwa pambano moja litakalowakutanisha timu zaCardoba itakayoikaribisha Granada.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox