STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 15 Januari 2015

KAMA ULIKUWA HUJUI, MTOTO WA RONALDO ANAMSHABIKIA MESSI

MESSI AKIZUNGUMZA NA RONALDO KATIKA HAFLA YA TUZO ZA BALLOND'OR...
Cristiano Ronaldo ameweka wazi kwamba mwanaye Ronaldo Jr ana ushabiki mkubwa kwa Lionel Messi.

Ronaldo amesema mara kadhaa mwanaye huyo wa kiume amekuwa akifuatilia kuhusiana na Messi.
“Amekuwa akiangalia video kadhaa za mabao ya Messi, anamuunga mkono,” alisema Ronaldo na kucheka.
Katika hafla ya tuzo za Ballond’Or, Ronaldo Jr alipata nafasi ya kumsalimia Messi.

Baba yake alifanikiwa kushinda tuzo ya tatu ya dunia ikiwa anashinda kwa mara ya pili mfululizo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox