STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 13 Januari 2015

PELLEGRINI: ALEXIS SANCHEZ NDIYE MCHEZAJI BORA WA ENGLAND NA SI AGUERO

Alexis Sanchez celebrates after scoring his second goal in Arsenal's 3-0 defeat of Stoke on Sunday 
Alexis Sanchez ndiye bora kwa mujibu wa bosi wa Man City
Manuel Pellegrini ameweka wazi mchezaji ambaye anaamini ni bora zaidi nchini England...na cha kushangaza hajamtaja mshambuliaji wa Manchester City,Sergio Aguero.
Kiukweli, bosi huyo wa City aliweka wazi kuwa mchezaji bora wa EPL ni mkali wa Arsenal, Alexis Sanchez ambaye alifunga na kutoa pasi ya mwisho katika ushindi wa Gunners wa 3-0 dhidi ya Stoke City jumapili iliyopita.
Akizungumza na AS, Mchile huyo mwenye miaka 61 alifafanua sababu inayomfanya aamini kuwa nyota huyo ndiye bora kuwa ni kufunga magoli 12 na kutoa pasi za mwisho 7 tangu asajiliwe kwa paundi milioni 32 kutoka Barcelona majira ya kiangazi mwaka jana. 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox