STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 2 Januari 2015

SHABIKI ALIYETAKA KUMPIGA WENGER ATIWA MBARONI.


SHABIKI mmoja amekamatwa baada ya kumvaa meneja wa Arsenal Arsene Wenger wakati wa mchezo wa Ligi Kuu mbao wlaifungwa na Southampton kwa mabao 2-0 jana. Shabiki huyo mwenye umri wa miaka 25 alikuwa akienda kumvaa Wenger mwenye umri wa miaka 65 lakini alizuiwa na mabaunsa kabla ya polisi wa Hampshire hawajamata. Taarifa ya klabu ya Southampton imedai kuwa shabiki huyo alikuwa mshabiki wa Arsenal ambaye alikuwa amekaa jukwaa la mashhabiki wa nyumbani lakini Wenger anadhani alikuwa mshabiki wa Saints. Tukio hilo linakuja baada ya Wenger kushambuliwa na mashabiki wa Arsenal wakati akipanda treni baada ya kipigo dhidi ya Stoke Desemba mwaka jana. Akihojiwa baada ya tukio hilo Wenger amesema anadhani shabiki huyo hakuwa na nia ya kumdhuru kwani hakumsikia hata akisema lolote.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox