STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 27 Machi 2015

JOHN TERRY ASAINI MKATABA MPYA CHELSEA

Nahodha wa Chelsea, John Terry amesaini mkataba mpya na klabu yake ambao utamuwezesha kulamba pauni 150,000 kwa wiki.

Mkataba huo mpya wa Terry mwenye umri wa miaka 34 na Chelsea utamalizika mwishoni mwa msimu huu wa 2015-16.
Kocha Mkuu wa Chelsea, Jose Mourinho ameutaja mkataba huo kuwa ni sahihi na kusisitiza si asante kwa Terry, badala yake ni kutokana na uwezo anaopuonyesha.

Terry ameichezea Chelsea mechi 661 tokea mwaka 1998 alipocheza mechi yake ya kwanza kabla ya kupata namba ya uhakika katika kikosi cha kwanza mwaka 2000.


Beki huyo anaendelea kushikilia rekodi ya beki aliyefunga mabao mengi zaidi akiwa na Chelsea baada ya kupachika 64.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox