STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 28 Machi 2015

VURUGU ZASABABISHA MECHI KUAHIRISHWA


Mechi kati ya Montenegro na Russia ya kutafuta tiketi ya kucheza Euro 2016 iliahirishwa hapo jana mara baada ya matukio kadhaa kutokea uwanjani
Awali sekundi ya 8 baada ya mpira kuanza kipa wa Russia Igor Akinfeev alipigwa na moto kichwani na kuzidiwa na hivyo nafasi yake ikachukuliwa na kipa Yuri Lodygin.
Tukio hilo lilifanywa na mashabiki wa Montenegro na kusababisa mwamuzi kusimamisha mchezo huo kwa muda mrefu na baaaye dakika ya 35 ukaendelea .

Hata hivyo kipindi cha pili mpira ulisimama kwa dakika 18 kufuatia vurugu za wachezaji wa pande zote 2 na makocha kutokana na mchezaji mwingine wa Russia kupigwa tena na moto.
Lakini baadaye dakika ya 66 mwamuzi aliamua kuahirisha mchezo huo baada ya kipa wa Montenegro Vukasin Poleksic  kuokoa penati ya Roman Shirokov
Mpaka pambano hilo lililopigwa nchini Montenegro linaahirishwa timu hizo zilikuwa hazijafungana

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox