STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 19 Julai 2015

LAPORTA CHALI KWA BARTOMEU

Josep Maria Bartomeu amechaguliwa tena kuwa raisi wa Barcelona kwa muhula wa pili, akimshinda Joan Laporta ambaye ameshawahi kuwa raisi wa klabu hiyo.
Taarifa kutoka kituo cha habari cha Barcelona kinasema kwamba Bartomeu alipata kura asilimia 54.63 ambazo zilipigwa jana Jumamosi.
Bartomeu kwa ushindi huo ina maana ataiongoza klabu ya Barcelona kwa miaka sita mingine.
Bartomeu alipata kiti cha uraisi baada ya raisi aliyekuwa mwanzo Sandro Rosell kujiuzulu kufuatia shutuma zilizokuwa zinamkabili juu ya usajili wa Neymar kutoka Santos.
Bartomeu akiwa amefanikia kuisimamia Barcelona kupata ubingwa wa Copa del Rey, La Liga na Klabu Bingwa Ulaya aliweza kumshinda mpinzani wake Joan Laporta ambaye aliongoza klabu hiyo kuanzia 2003 mpaka 2010
MGAWANYO WA KURA;

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox