Makundi ya kombe la klabu bingwa Africa mashariki na kati (Kombe la kagame) yametangazwa leo hii kukiwa na timu mbili kutoka Tanzania bara na moja kutoka Tanzania visiwani (Zanzibar) ambapo Simba SC na Mbeya city hawamo katika makundi hayo matatu.
Taarifa ya mshindano ya Kagame Cup ilipotangazwa kufanyika Dar es salaam, kuna tetesi zilitolewa ya uenda Tanzania bara ikawakilishwa na timu tatu, ambapo nafasi hiyo ya tatu ilikuwa inahusuihwa na Meya city pamoja na Simba SC, ambapo kuota kwa makundi hayo yanakanusha uvumi huo.
Michuano ya Kagame mwaka huu yanatarajia kuanza katikati ya mwezi huu katika uwanja wa Taifa ambapo timu 13 zinatarajiwa kuchuana katika makundi matatu yanayo jumuisha timu 4 kila kundi, isipokuwa kundi A lenye timu 5.
Yanga ( Tanzania)
Gor Mahia ( Kenya)
Khartoum ( Sudan)
Telecom ( Djibout)
KMKM ( Zanzibar )
KUNDI B
APR( Rwanda)
Al Shandy ( Sudan)
LLB ( Burundi)
Elman ( Somalia)
KUNDI C
Azam (Tanzania)
Malakia ( South Sudan)
KCC ( Uganda)
Adama City ( Ethiopia)
Taarifa ya mshindano ya Kagame Cup ilipotangazwa kufanyika Dar es salaam, kuna tetesi zilitolewa ya uenda Tanzania bara ikawakilishwa na timu tatu, ambapo nafasi hiyo ya tatu ilikuwa inahusuihwa na Meya city pamoja na Simba SC, ambapo kuota kwa makundi hayo yanakanusha uvumi huo.
Michuano ya Kagame mwaka huu yanatarajia kuanza katikati ya mwezi huu katika uwanja wa Taifa ambapo timu 13 zinatarajiwa kuchuana katika makundi matatu yanayo jumuisha timu 4 kila kundi, isipokuwa kundi A lenye timu 5.
MAKUNDI YENYEWE NI:
KUNDI AYanga ( Tanzania)
Gor Mahia ( Kenya)
Khartoum ( Sudan)
Telecom ( Djibout)
KMKM ( Zanzibar )
KUNDI B
APR( Rwanda)
Al Shandy ( Sudan)
LLB ( Burundi)
Elman ( Somalia)
KUNDI C
Azam (Tanzania)
Malakia ( South Sudan)
KCC ( Uganda)
Adama City ( Ethiopia)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni