STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 20 Julai 2015

STAND UNITED YAMTWAA KOCHA WA ZAMANI WA SIMBA

 Liewig (kushoto

Klabu ya Stand United ya Shinyanga inayoshiriki ligi kuu soka Tanzania bara imeingia mkataba wa miaka miwili na kocha wa zamani wa Simba, Mfaransa, Patrick Liewig.

Liewig amesaini mkataba huo leo jijini Dar es salaam mbele ya waandishi wa habari.
Stand wamedhamiria kufanya vyema msimu ujao chini ya udhamini wa kampuni ya ACACIA iliyomwaga fedha za kutosha na kumchukua Liewig ni moja ya mipango yao ya kuimarisha benchi la ufundi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox