STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 5 Agosti 2015

FLOYD MAYWEATHER ULINGONI SEPTEMBA 12 KUKIPIGA NA.......

Bondia Floyd Maywether atapanda tena ulingoni mwezi Septemba 12 mwaka huu kuzipiga na Andre Berto.
Floyd atajaribu kuifikia rekodi ya bondia Rocky Marciano, ya kupigana mapambano 49 pasipo kupoteza.Berto ameshinda mapambano 30 huku akipoteza mapambano matatu.
Bondia mwingereza Amir Khan alikua na matumaini ya kuzipiga na Mayweather, baada ya kumpiga Chris Algieri, mwezi Juni.
Mayweather alieleza baada ya pambano lake na Manny Pacquiao kuwa atacheza pambano moja tu la mwisho kabla ya kustaafu mchezo wa masubwi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox