STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 17 Agosti 2015

GOLI LA BENTEKE LAMKERA GARY NEVILLE....TIZAMA VIDEO YA GOLI LENYEWE...


Gary Neville ameponda makosa endelevu ya kushindwa kutafsiri sheria mpya ya kuotea katika michuano ya ligi kuu England kufuatia Liverpool kupewa goli lisilostahili kwenye mchezo wa EPL uliopigwa Jana usiku dhidi ya Bournemouth.

Goli pekee la Christian Benteke katika uwanja wa Anfield lilitakiwa kukataliwa kwasababu mchezaji mwenzie, Philippe Coutinho alikuwa tayari ameotea.

Siku chache kabla ya msimu mpya kuanza, yalifanyika mabadiliko ya sheria ya kuotea ambapo mchezaji yoyote anayecheza mpira katika eneo la kuotea, kibendera lazima kiwe juu na hata kama hakugusa mpira.

Philippe Coutinho was clearly offside when the cross came in from the left wing from Jordan Henderson

Philippe Coutinho alikuwa ameotea wakati mpira wa krosi uliochongwa na Jordan Henderson unajaa ndani kutoka winga ya kushoto 

Coutinho made an attempt to go for the cross before it reached Benteke at the far post but no flag was raised

Coutinho alijaribu kumalizia krosi hiyo kabla ya kumfikia Benteke, lakini hakuna kibendera kilichoonekana juu.

Mwamuzi msaidizi,  Harry Lennard alishindwa kunyosha kibendera, akimuacha Benteke afunge.

Neville amedai makosa haya ni stori za kila msimu na kila msimu mpya wanakuja na mabadiliko lakini hakuna wanachofanya.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox