STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 17 Agosti 2015

MATOKEO, TAKWIMU BENTEKE AKIFUNGUA AKAUNTI YA MAGOLI LIVERPOOL


Majogoo wa Jiji Liverpool wameibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya AFC Bournemouth katika mechi pekee ya ligi kuu ya England iliyomalizika usiku huu uwanja wa Anfield.

Bao pekee la kikosi hicho cha Brendan Rodgers limefungwa dakika ya 26' na straika wake mpya, Christian Benteke akimalizia pasi nzuri ya Jordan Henderson


Unaweza kusema Benteke amefungua akaunti ya magoli Liverpool kwani amefumania nyavu katika mchezo wake wa kwanza.


Hata hivyo, Phillipe Coutinho alifunga goli la kuongoza, lakini refa alikataa  kwasababu Mbrazil huyo alikuwa ameotea.

TAKWIMU ZA MECHI:

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox