STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 7 Agosti 2015

KOCHA WA NIGERIA SUNDAY OLISEH KUWAJUMUISHA WACHEZAJI WA UMRI CHINI YA MIAKA 23 KUIKABILI STARS



WACHEZAJI kadhaa wa kikosi cha timu ya vijana chini ya umri wa miaka 23 wameitwa katika kikosi cha wakubwa cha Nigeria kwa ajili ya mechi dhidi ya Tanzania mwezi ujao kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika.

Kocha mpya, Sunday Oliseh amewajumuisha kikosini Stanley Amuzie anayecheza Italia, Nahodha wa FC Taraba, Usman Mohammed, Oghenekaro Etebo wa Warri Wolves na kiungo wa Enyimba, Kingsley Sokari.

Beki wa kushoto, Amuzie, ambaye ni hivi karibuni amehamia Italian katika timu ya Serie A, Sampdoria, alimvutia kocha huyo mapema mwezi huu katika ushindi wa U23 wa 2-1 dhidi ya Kongo mjini Port Harcourt.

Wachezaji wa ndani wa Nigeria wanaotarajiwa kuwamo kikosi cha Eagles wataingia kambini wakati wowote kuanzia sasa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox