Nahodha wa United, Wayne Rooney akiwasili Hotelini
Baada
ya kukosa michuano ya Ulaya msimu iliopita, leo usiku Manchester United
wanacheza mechi ya kwanza ya raundi ya mwisho ya mtoano dhidi ya Club
Brugge ya Ubelgiji.
Wachezaji wa Man United jana waliwasili Hoteli ya kifahari ya Lowry
tayari kujiandaa na mechi hiyo ya kwanza kuwania kufuzu hatua ya
makundi ya Uefa Champions League ambayo inachezwa Old Trafford kuanzia
majira ya saa 3:45 kwa saa za Afrika Mashariki.
RATIBA NZIMA YA MECHI ZA LEO ZA UEFA
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni