STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 14 Agosti 2015

MANCHESTER UNITED MWENDO MDUNDO TIZAMA TAKWIMU ZA MCHEZO WAO DHIDI YA ASTON VILLA.......


Mashetani Wekundu, Manchester United wamepata ushindi wa pili mfululizo katika mechi mbili walizocheza za ligi kuu England.
Man United walioanza ligi kwa kuifunga 1-0 Tottenhma mwishoni mwa Juma lililopita, usiku huu wamevuna ushindi kama huo ugenini dhidi ya Astona Villa.


Bao pekee la wakali hao wa Old Trafford wanaonolewa na Louis van Gaal limefungwa dakika ya 29 na Adnan Junazaj akipokea pasi murua kutoka kwa Mhispania, Juan Mata.
Hizi ni takwimu za mechi yenyewe:



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox