STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 19 Agosti 2015

MFALME WA LIGI KUU NCHINI UINGEREZA ANAANDALIWA HESHIMA KUBWA.....................


 Newcastle wameonyesha heshima baada ya kutengeneza sanamu maalum kwa ajili ya kumuenzi mshambuliaji wake nyota wa zamani, Allan Shearer.



Sanamu hilo liko katika hatua za mwisho kabisa kukamilika ambalo linaonyesha heshima kubwa kwa Shearer.

Shearer ndiye mfungaji bora wa Ligi Kuu England kwa muda wote na alianza kung'ara zaidi akiwa na Blackburn Rovers.








Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox