STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 17 Agosti 2015

RAHEEM STERLING 'AKOPI' NA 'KUPESTI' KWA CRISTIANO RONALDO...


Raheem Sterling tayari amezoea maisha ya Manchester City akitumia jezi yake mpya namba 7 katika uwanja wa Etihad.

Nyota huyu aliyesajiliwa kutoka Liverpool kwa paundi milioni 49 ameanzisha logo yake ya kibiashara kama alivyofanya Mwanasoka bora wa dunia, Cristiano Ronaldo ambaye hutumia tag ya 'CR7'.

The Manchester City star also had the name of his daughter 'Melody-Rose' on his footwear

Baada ya kupewa jezi namba 7, Raheem anavalia viatu vya rangi ya pink na ameandika jina la mtoto wake wa kike , 'Melody Rose' pamoja na tag ya 'RS7'.

The Real Madrid superstar has turned the tag into a hugely successful global brand

Logo hii inafanana na ya Ronaldo ambaye ameiendeleza na kuwa brand kubwa zaidi duniani.

Sterling (right) in action as Manchester City beat Chelsea 3-0 at the Etihad Stadium on Sunday

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox