STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 6 Agosti 2015

VIWANGO VIPYA VYA FIFA, TANZANIA YAPOROMOKA TENA, ARGENTINA BADO KINARA


FIFA Leo hii imetoa Listi ya Ubora Duniani na zile Nchi 5 Bora, zikiongozwa na Mabingwa wa Dunia Germany ziko Nafasi zao zile zile huku Tanzania ikiporomoka Nafasi 3 na kushika Nafasi ya 107. LISTI ya FIFA ya Ubora Duniani kwa Mwezi Agosti imetolewa huku Argentina ikibaki Nafasi ya Kwanza na Tanzania kuporomoka Nafasi 1 na kushika Nafasi ya 140.
Katika 10 Bora, Mabingwa wa Dunia Germany wameshuka Nafasi 1 na kushika Nafasi ya 3 huku
Timu ya juu kabisa toka Barani Afrika ni Algeria ambayo ipo pale pale Nafasi ya 19 na kufuatiwa na Ivory Coast waliobakia Nafasi ya 21. 

10 BORA: 
1. Argentina
2. Belgium
3. Germany
4. Colombia
5. Brazil
6. Portugal
7. Romania
8. England
9. Wales
10. Chile

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox