STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 22 Oktoba 2015

HAYA NI MAHABA,RONALDO AONYESHA MAPENZI MAKUBWA KWA SHABIKI ALIYEVAMIA UWANJANI....


Cristiano Ronaldo ameonyesha mapenzi ya juu kwa shabiki aliyevamia uwanjani.

Shabiki huyo alivamia uwanjani wakati Madrid ikipambana na PSG iliyokuwa nyumbani jijini Paris, Ufaransa.
Ilikuwa ni mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, shabiki huyo alikatiza kwa kasi ya kimondo. Alipomfikia Ronaldo, alimpokea na kumkumbatia.
 
Hata wakati walinzi wa uwanja wanaingia, Ronaldo aliwazuia kumpa kipigo, akapiga naye stori sekunde kadhaa na kuwaruhusu wamchukue lakini si kwa kumpiga.
 
Baada ya hapo mashabiki walimshangilia kwa kile alichoonyesha kwa shabiki huyo aliyeonyesha mapenzi makubwa kwake.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox