STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 20 Desemba 2015

BARCELONA WAANDIKA HISTORIA MPYA,SUAREZ NA MESSI WAJIWEKEA REKODI MPYA......................


River Plate 0-3 Barcelona: Luis Suarez at the double after Lionel Messi opener to claim
Fainali za michuano ya vilabu bingwa Duniani imemalizika kule nchini Japan katika uwanja wa Yokohama mjini Yokohama na kushuhudia Barcelona waki ibuka na ushindi wa goli 3-0 dhidi ya mabingwa wa Amerika ya kusini River Plate inayotoka nchini Argentina.
 Messi's fifth Club World Cup goal brought him level with Cesar Delgado as the joint top scorer in the history of the competition

Messi aliaanza kuifungia Barcelona goli la kwanza mnamo dakika ya 37 kisha Suarez mnamo kipindi cha pili akafunga goli la pili dakika ya 49 na 68

Suarez made it 3-0 with 68 minutes played when he finished off Neymar's cross with a well placed header into the top corner
Matokeo hayo Barcelona wameandika historia ya kuwa klabu iliyotwaa ubingwa huo mara nyingi zaidi ikiwa ni mara tatu, mara ya kwanza ni mwaka 2009 kisha 2011 na 2015 na kuwaacha Corinthians wakiwa wamechukua mara mbili.

lakini pia magoli mawili ya Suarez yamemfanya kuwa mfungaji bora katika mashindano haya ya 2015 na wa muda wote katika mashindano hayo tangu kuanzishwa kwake 2000 akiwa na magoli 5 katika michezo 2 akishiriki mashindano hayo mara moja 2015.
 Suarez (centre) won the gold ball, Messi (left) won the silver ball and Andres Iniesta (right) won the bronze ball for their performances
 Suarez (katikati ) won the gold ball, Messi (kushoto) won the silver ball and Andres Iniesta (kulia) won the bronze

Messi ambae pia alifunga goli la kwanza limemfanya ashike nafasi ya pili orodha ya wafungaji wa muda wote kwa kufunga magoli 5 katika michezo 5 akishiriki mashindano haya mara tatu mwaka 2009,2011 na 2015.

César Delgado wa Monterrey ambae ndie alikuwa kinara katika rekodi ya ufungaji anashika nafasi ya tatu kwa kuwa na magoli 5 katika michezo 6 akishiriki michuano hiyo mwaka  (2011), 2012, na 2013

 Messi poked the ball past River Plate goalkeeper Marcelo Barovero to give Barcelona the lead after Neymar had headed the ball down

  Suarez is congratulated by his team-mates after scoring his fifth goal of the tournament and joining Messi as its all-time leading scorer

Messi, Busquets, Andres Iniesta, Gerard Pique na Dani Alves wameweka rekodi ya kuchukua ubingwa huu mara tatu 2009,2011 na 2015


MAGIC MESSI

Lionel Messi amefunga goli katika mashindano saba mwaka 2015. La Liga, Copa del Rey, UEFA Super Cup, Spanish Super Cup, Champions League, Copa America na FIFA Club World Cup. 

 Barcelona's stars celebrate together after Suarez secures the Club World Cup title with his side's third goal of the game

BARCELONA'S TROPHIES IN 2015 

La Liga
Copa del Rey
Champions League
UEFA Super Cup
FIFA Club World Cup























































































Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox