STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 20 Machi 2016

JE YANGA KUVUNJA MWIKO KWA WAARABU?


RASMI. Ni Yanga na Al Ahly ya Misri katika hatua ya 16 Bora ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
 
Hiyo inafuatia vigogo hao wa Misri kushinda 2-1 dhidi ya Recreativo do Libolo leo Uwanja wa Borg el Arab mjini Cairo katika mchezo wa marudiano Raundi ya Kwanza.
 
Ahly iliyotoa sare ya 0-0 katika mchezo wa kwanza nchini Angola sasa itamenyana na wapinzani wao wa kihistoria kwenye michuano ya Afrika, Yanga mwezi ujao.


Mara ya mwisho timu hizo zilikutana mwaka 2014 katika Raundi ya Kwanza na Yanga ikatolewa kwa penalti 4-3, baada ya sare ya jumla ya 1-1, kila timu ikishinda 1-0 nyumbani kwake.
 
Mechi ya kwanza itachezwa Aprili 9, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wakati marudiano yatakuwa Aprili 19 mjini Cairo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox