STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 17 Juni 2016

KOCHA WA UJERUMANI AOMBA RADHI KWA KISA HIKI, TIZAMA VIDEO HAPA YA KISA HICHO.............





KOCHA wa timu ya taifa ya Ujerumani, Joachim Low ameomba radhi baada ya picha za video kumnasa akiingiza mkono wake ndani ya suruali yake na kasha kunusa vidole vyake. 
 
Video hiyo iliyonaswa wakati wa mchezo wa michuano ya Ulaya dhidi ya Ukraine, ilisambazwa katika mitandao ya kijamii. 
Akihojiwa kocha huyo mwenye umri wa miaka 56, ilikuwa katika hali ya shinikizo kutokana na mchezo ulivyokuwa ukiendelea hata hivyo atajaribu kubadilika siku zijazo. 
Low aliendelea kudai kuwa ameoziona picha hizo za video na muda mwingine mtu anaweza kufanya jambo bila kujijua hivyo anaomba radhi. 
 TIZAMA VIDEO HIZI KATIKA MATUKIO HAYO;
 

VIDEO YA PILI


Mshambuliaji wa Ujerumani Lukas Podolki pia alimtetea kocha huyo na kudai kuwa tukio hilo halijaathiri chochote kambi yao.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox