STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 27 Julai 2016

JUMA KASEJA "AULA" SERENGETI BOYS.............

 kipa wa Mbeya City, Juma Kaseja aidaka

Kaseja anaungana na kikosi hicho kuelekea Madagascar kwa ajili ya kambi ya wiki moja kabla ya kuikabili Afrika Kusini.

Baada ya kuachana na klabu ya Mbeya City Kipa mkongwe Tanzania, Juma Kaseja ameteuliwa kuwa kocha wa makipa wa kikosi cha timu ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys.
 


Kaseja ameiambia Goal, anashukuru kuona Shirikisho la soka Tanzania TFF, likimwamini na kumpa kazi hiyo na kuahidi kuwafua vizuri makipa hao wa timu ya vijana.

“Nimefurahi kwa TFF, na benchi la ufundi la Serengeti chini ya kocha Bakari Shime kwa nafasi hii nitajitahidi kutumia uzoefu wangu kuwanoa vijana hawa ili timu yetu iweze kufuzu fainali za vijana,”amesema Kaseja.

Kaseja anaungana na kikosi hicho kuelekea Madagascar kwa ajili ya kambi ya wiki moja kabla ya kuikabili Afrika Kusini kwenye mchezo wa kuwania kufuzu fainali hizo za mataifa ya Afrika kwa vijana wenye umri wa miaka 17.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox