STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 7 Agosti 2016

BREAKING NEWS; PAUL POGBA KUFANYIWA VIPIMO VYA AFYA MANCHESTER UNITED...

 Manchester United used the above '#POGBACK' graphic on their Twitter and Instagram pages


Klabu ya Juventus ya Italia imemruhusu mshambulizi wake Paul Pogba kufanyiwa vipimo vya afya Old Trafford katika moja ya ishara kuwa huenda Manchester United imeafikiana na wakala wake kumnunua mchezaji huyo.

 Pogba left Manchester United in 2012 on a free transfer due to limited first team opportunities


Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa amekuwa likizoni Marekani baada ya kumalizika kwa michuano ya Euro 2016.
Pogba, 23, amekuwa akihusishwa na kuhamia Old Trafford kwa bei ya kuvunja rekodi ya dunia ya ununuzi wa wachezaji ya pauni milioni moja.

 Sportsmail revealed on July 29 that the deal to bring Pogba back to Manchester was agreed

Pogba alichezea United mwisho dhidi ya Wolves Machi 2012
Akiwa Old Trafford Pogba alichezeshwa katika mechi 3 pekee.
Meneja wa United Jose Mourinho alikuwa amedokeza kwamba klabu hiyo ilikuwa imekaribia sana kumpata Pogba.

"Kwa sasa, Pogba ni mchezaji wa Juventus," amesema Allegri.
United wataanza msimu kwa mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Leicester City Jumapili.

Juventus wataanza msimu wao Serie A wiki moja baadaye tarehe 20 Agosti.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox