STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 9 Agosti 2016

REAL MADRID WAIBAMIZA SEVILLA NA KUTWAA UBINGWA WA SUPER CUP......

The Real Madrid players celebrate on Rosenborg's Lerkendal Stadium pitch after securing a European Super Cup triumph 





MABINGWA wa Ligi ya mabingwa barani Ulaya, Real Madrid ya nchini Hispania  wameinyuka Sevilla wanaoshikilia taji la Europa  mabao 3-2 na kunyakua ubingwa wa Super Cup.

Real Madrid goalkeeper Kiko Casilla watches on as Vazquez's effort flies into the back of the net on Tuesday evening 


Kipindi cha kwanza kilimalizika kwa timu hizo kwenda mapumziko zikiwa zimetoshana nguvu kwa bao 1-1 huku Sevilla ikitawala zaidi mchezo ambao Madrid iliwakosa nyota wake kadhaa akiwemo Cristiano Ronaldo, Pepe, Gareth Bale na Toni Kroos.

Madrid ndio waliokuwa wa kwanza kupata bao katika dakika ya 21 kupitia kwa kinda Marco Asensio aliyeachia shuti kali akiwa nje ya 18 lakini Franco Vasques akaisawazishia Sevilla dakika 41.


Italy international Franco Vazquez (right) levelled the score for last season's Europa League winners in the 41st minute
 

Kipindi cha pili cha mchezo huo uliopigwa kwenye dimba la Larkendal nchini Norway kilianza kwa kasi huku Sevilla wakionekana kuliandama zaidi lango la Madrid.

Konoplyanka aliipatia Sevilla goli la pili kwa mkwaju wa penati baada ya Sergio Ramos kufanya madhambi kwenye eneo la hatari.


Konoplyanka, who had a disappointing Euro 2016 with Ukraine, steps up to confidently give Sevilla a 2-1 lead 
 

Baada ya bao hilo Madrid waliliandama lango la Sevilla kama nyuki lakini ukuta wa mabingwa hao wa Europa ulikuwa imara kuondosha hatari zote hadi dakika 90 za mtanange huo zilipomalizika ndipo katika dakika tatu za nyongeza Ramos akaisawazishia Madrid.


Sergio Ramos heads home an equaliser for Real Madrid to make it 2-2 against Sevilla in the European Super Cup  



Mechi hiyo ilikwenda katika muda wa nyongeza wa dakika 30 ambapo katika dakika ya 28, Danny Carvajal aliipatia Madrid bao la tatu na la ushindi hivyo kutawazwa kuwa mabingwa wa kombe hilo.


 Real Madrid defender Dani Carvajal wheels away in celebration after scoring a dramatic last-gasp winner against Sevilla 

                                          MATCH FACTS 

REAL MADRID: Casilla, Carvajal, Varane, Sergio Ramos, Marcelo, Kovacic (James 72), Casemiro, Isco (Modric 66), Lucas, Morata (Benzema 62), Asensio

Subs not used: Yanez, Nacho, Danilo, Llorente
Goals: Asensio 21, Ramos 90+3, Carvajal 119 
Booked: Carvajal, Asensio, James

SEVILLA: Sergio Rico, Pareja, Kolodziejczak, Carrico (Rami 51), Kiyotake, Iborra (Kranevitter 74), Vazquez, Nzonzi, Mariano, Vietto (Konoplyanka 67), Vitolo

Subs not used: Soria, Ben Yedder, Sarabia, Escudero
Goals: Vazquez 41, Konoplyanka 72
Booked: Vitolo, Kolodziejczak
Sent off: Kolodziejczak 93
Referee: Milorad Mazic (Serbia)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox