STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 5 Agosti 2016

RONALDO NJIA NYEUPE TUZO YA MWANASOKA BORA ULAYA, MESSI CHALI........

 

NYOTA wawili wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo na Gareth Bale watapambana na Antoine Griezmann wa Atletico Madrid kuwania tuzo ya Mwanasoka Bora wa Mwaka wa Ulaya.
 
 
Bodi ya Soka Ulaya (UEFA) imetangaza orodha fupi ya mwisho ya wachezaji watatu wa kuwania tuzo hiyo leo na wachezaji wa la Liga watupu watachuana, tena wote kutoka timu za Jiji la Madrid.
 
Mshindi wa tuzo hiyo atapatikana baada ya kupigiwa kura na matokeo yatatangazwa katika Grimaldi Forum mjini Monaco Agousti 25.
 
Waandishi wa Habari kutoka nchi zote wanachama 55 wa UEFA watawasilisha orodha yao fupi, huku 54 wakipiga kura.
 
Cristiano Ronaldo will fancy his chances of winning another personal accolade on August 25
Cristiano Ronaldo 

Gareth Bale suffered an injury-plagued season but still managed 19 Liga goals for his club
Gareth Bale 

Antoine Griezmann can reflect on a strong 2015-16 despite missing out on silverware
Antoine Griezmann

                                            TAKWIMU ZAO;

 Bale showed off his skills for Wales as he built on another solid season in the Spanish capital

GARETH BALE;

Ubingwa: UEFA Champions League -2016
La-liga: michezo:23, Goals: 19 Assists: 10
UEFA Champions League : michezo:8, Goals: 0 Assists: 3
UEFA EURO 2016 : michezo:6, Goals: 3 Assists: 1

 Ronaldo was front and centre as Portugal lifted a first major trophy at Euro 2016 in France

 CRISTIANO RONALDO;
Ubingwa: UEFA Champions League, UEFA EURO 2016
La-liga:michezo: 36, Goals: 35 Assists: 11
UEFA Champions League: michezo:12, Goals: 16 Assists: 4
UEFA EURO 2016 :michezo, 7 Goals: 3 Assists: 3

 Griezmann added a golden boot to his Champions League runner-up medal scoring six goals
ANTOINE GRIEZMANN;
Ubingwa: none
La-liga:michezo; 38, Goals: 22 Assists: 5
UEFA Champions League: michezo 13, Goals: 7 Assists: 1
UEFA EURO 2016 : michezo:7 ,Goals: 6 Assists: 2

KURA ZA WASHIRIKI WENGINE;

Luis Suarez (Barcelona & Uruguay) – 29 points
Lionel Messi (Barcelona & Argentina) – 25
Gianluigi Buffon (Juventus & Italy) – 19
Pepe (Real Madrid & Portugal) – 9
Manuel Neuer (Bayern München & Germany) – 6
Toni Kroos (Real Madrid & Germany) – 5
Thomas Muller (Bayern München & Germany) – 2


Lionel Messi failed to make the final three nominees along with team-mate Luis Suarez
Messi ameshinda tuzo hizo mara mbili (2011,2015) katika miaka mitano tangu zilipoanzishwa, wakati Andres Iniesta akishinda (2012), Franck Ribery (2013) na  Ronaldo (2014).

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox