STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 18 Agosti 2016

STORI TATU KUBWA MICHEZONI AUGUST 18........

 

 Nigeria's John Obi Mikel reacts at the end of a semifinal match of the men's Olympic football tournament between Germany and Nigeria in Sao Paulo, Wednesday ...

Nahodha wa Nigeria, John Obi Mikel akiwa amejiinamia baada ya kufungwa 2-0 na Ujerumani katika Nusu Fainali ya Michezo ya Olimpiki jana mjini Sao Paulo, Brazil. 

 Germany's players celebrate after qualifying for the final at the end of a semifinal match of the men's Olympic football tournament against Nigeria in Sao Pa...

Mabao ya Ujerumani ambayo sasa itamenyana na Brazil katika fainali Jumamosi Uwanja wa Maracana, yalifungwa na Lukas Klosertmann na Nils Peterson.


                                  STORI YA PILI;

Barcelona 3-0 Sevilla (5-0 agg): Arda Turan and Lionel Messi strike and City target

 Wachezaji wa Barcelona wakifurahia na taji lao la Super Cup ya Hispania baada ya kulitwaa kufuatia kuifunga mabao 3-0 Sevilla Uwanja wa Camp Nou na kulibeba kwa ushindi wa jumla wa 5-0 kufuatia awali kushinda 2-0 ugenini. 

 Barcelona defended the trophy after beating Spanish Cup winners Sevilla 5-0 on aggregate

Mabao ya Barca jana yalifungwa na Ardur Turan mawili na Lionel Messi moja, wakati kipa Claudio Bravo anayetakiwa na Manchester City alicheza penalti ya Vicente Iborr wa Sevilla.





Turan doubled Barcelona's lead with an inventive lob just after half-time
BEKI wa Barcelona, Javier Mascherano anatarajiwa kukosa mchezo wa ufunguzi wa La Liga dhidi ya Real betis kutokana na majeruhi ya msuli wa paja aliyopata. Nyota huyo wa kimataifa wa Argentina alipata majeruhi hayo wakati wa mchezo wa Super Cup dhidi ya Sevilla jana. Mascherano alitolea nje na kupelekea Barcelona ambao walikuwa wameshamaliza wachezaji wote watatu wa akiba, kumaliza mchezo huo wakiwa na 10 uwanjani. Hata hivyo, mabao mawili ya Arda Turan na moja la Lionel Messi yalitosha kuwahakikishia ushindi wa mabao 3-0 na kuwafanya kutwaa taji hilo kwa jumla ya mabao 5-0 katika michezo miwili waliyokutana.

Make Money Online : http://ow.ly/KNICZ
BEKI wa Barcelona, Javier Mascherano anatarajiwa kukosa mchezo wa ufunguzi wa La Liga dhidi ya Real betis kutokana na majeruhi ya msuli wa paja aliyopata. Nyota huyo wa kimataifa wa Argentina alipata majeruhi hayo wakati wa mchezo wa Super Cup dhidi ya Sevilla jana. Mascherano alitolea nje na kupelekea Barcelona ambao walikuwa wameshamaliza wachezaji wote watatu wa akiba, kumaliza mchezo huo wakiwa na 10 uwanjani. Hata hivyo, mabao mawili ya Arda Turan na moja la Lionel Messi yalitosha kuwahakikishia ushindi wa mabao 3-0 na kuwafanya kutwaa taji hilo kwa jumla ya mabao 5-0 katika michezo miwili waliyokutana.

Make Money Online : http://ow.ly/KNICZ

BEKI wa Barcelona, Javier Mascherano anatarajiwa kukosa mchezo wa ufunguzi wa La Liga dhidi ya Real betis kutokana na majeruhi ya msuli wa paja aliyopata. Nyota huyo wa kimataifa wa Argentina alipata majeruhi hayo wakati wa mchezo wa Super Cup dhidi ya Sevilla jana. Mascherano alitolea nje na kupelekea Barcelona ambao walikuwa wameshamaliza wachezaji wote watatu wa akiba, kumaliza mchezo huo wakiwa na 10 uwanjani. Hata hivyo, mabao mawili ya Arda Turan na moja la Lionel Messi yalitosha kuwahakikishia ushindi wa mabao 3-0 na kuwafanya kutwaa taji hilo kwa jumla ya mabao 5-0 katika michezo miwili waliyokutana.

Make Money Online : http://ow.ly/KNICZ
WAKATI HUO;Beki wa Barcelona, Javier Mascherano anatarajiwa kukosa mchezo wa ufunguzi wa La Liga dhidi ya Real betis kutokana na majeruhi ya msuli wa paja aliyopata. 

Nyota huyo wa kimataifa wa Argentina alipata majeruhi hayo wakati wa mchezo wa Super Cup dhidi ya Sevilla jana. 

Mascherano alitolea nje na kupelekea Barcelona ambao walikuwa wameshamaliza wachezaji wote watatu wa akiba, kumaliza mchezo huo wakiwa na 10 uwanjani.
BEKI wa Barcelona, Javier Mascherano anatarajiwa kukosa mchezo wa ufunguzi wa La Liga dhidi ya Real betis kutokana na majeruhi ya msuli wa paja aliyopata. Nyota huyo wa kimataifa wa Argentina alipata majeruhi hayo wakati wa mchezo wa Super Cup dhidi ya Sevilla jana. Mascherano alitolea nje na kupelekea Barcelona ambao walikuwa wameshamaliza wachezaji wote watatu wa akiba, kumaliza mchezo huo wakiwa na 10 uwanjani. Hata hivyo, mabao mawili ya Arda Turan na moja la Lionel Messi yalitosha kuwahakikishia ushindi wa mabao 3-0 na kuwafanya kutwaa taji hilo kwa jumla ya mabao 5-0 katika michezo miwili waliyokutana.

Make Money Online : http://ow.ly/KNICZ
BEKI wa Barcelona, Javier Mascherano anatarajiwa kukosa mchezo wa ufunguzi wa La Liga dhidi ya Real betis kutokana na majeruhi ya msuli wa paja aliyopata. Nyota huyo wa kimataifa wa Argentina alipata majeruhi hayo wakati wa mchezo wa Super Cup dhidi ya Sevilla jana. Mascherano alitolea nje na kupelekea Barcelona ambao walikuwa wameshamaliza wachezaji wote watatu wa akiba, kumaliza mchezo huo wakiwa na 10 uwanjani. Hata hivyo, mabao mawili ya Arda Turan na moja la Lionel Messi yalitosha kuwahakikishia ushindi wa mabao 3-0 na kuwafanya kutwaa taji hilo kwa jumla ya mabao 5-0 katika michezo miwili waliyokutana.

Make Money Online : http://ow.ly/KNICZ
BEKI wa Barcelona, Javier Mascherano anatarajiwa kukosa mchezo wa ufunguzi wa La Liga dhidi ya Real betis kutokana na majeruhi ya msuli wa paja aliyopata. Nyota huyo wa kimataifa wa Argentina alipata majeruhi hayo wakati wa mchezo wa Super Cup dhidi ya Sevilla jana. Mascherano alitolea nje na kupelekea Barcelona ambao walikuwa wameshamaliza wachezaji wote watatu wa akiba, kumaliza mchezo huo wakiwa na 10 uwanjani. Hata hivyo, mabao mawili ya Arda Turan na moja la Lionel Messi yalitosha kuwahakikishia ushindi wa mabao 3-0 na kuwafanya kutwaa taji hilo kwa jumla ya mabao 5-0 katika michezo miwili waliyokutana.

Make Money Online : http://ow.ly/KNICZ
BEKI wa Barcelona, Javier Mascherano anatarajiwa kukosa mchezo wa ufunguzi wa La Liga dhidi ya Real betis kutokana na majeruhi ya msuli wa paja aliyopata. Nyota huyo wa kimataifa wa Argentina alipata majeruhi hayo wakati wa mchezo wa Super Cup dhidi ya Sevilla jana. Mascherano alitolea nje na kupelekea Barcelona ambao walikuwa wameshamaliza wachezaji wote watatu wa akiba, kumaliza mchezo huo wakiwa na 10 uwanjani. Hata hivyo, mabao mawili ya Arda Turan na moja la Lionel Messi yalitosha kuwahakikishia ushindi wa mabao 3-0 na kuwafanya kutwaa taji hilo kwa jumla ya mabao 5-0 katika michezo miwili waliyokutana.

Make Money Online : http://ow.ly/KNIC
BEKI wa Barcelona, Javier Mascherano anatarajiwa kukosa mchezo wa ufunguzi wa La Liga dhidi ya Real betis kutokana na majeruhi ya msuli wa paja aliyopata. Nyota huyo wa kimataifa wa Argentina alipata majeruhi hayo wakati wa mchezo wa Super Cup dhidi ya Sevilla jana. Mascherano alitolea nje na kupelekea Barcelona ambao walikuwa wameshamaliza wachezaji wote watatu wa akiba, kumaliza mchezo huo wakiwa na 10 uwanjani. Hata hivyo, mabao mawili ya Arda Turan na moja la Lionel Messi yalitosha kuwahakikishia ushindi wa mabao 3-0 na kuwafanya kutwaa taji hilo kwa jumla ya mabao 5-0 katika michezo miwili waliyokutana.

Make Money Online : http://ow.ly/KNICZ
BEKI wa Barcelona, Javier Mascherano anatarajiwa kukosa mchezo wa ufunguzi wa La Liga dhidi ya Real betis kutokana na majeruhi ya msuli wa paja aliyopata. Nyota huyo wa kimataifa wa Argentina alipata majeruhi hayo wakati wa mchezo wa Super Cup dhidi ya Sevilla jana. Mascherano alitolea nje na kupelekea Barcelona ambao walikuwa wameshamaliza wachezaji wote watatu wa akiba, kumaliza mchezo huo wakiwa na 10 uwanjani. Hata hivyo, mabao mawili ya Arda Turan na moja la Lionel Messi yalitosha kuwahakikishia ushindi wa mabao 3-0 na kuwafanya kutwaa taji hilo kwa jumla ya mabao 5-0 katika michezo miwili waliyokutana.

Make Money Online : http://ow.ly/KNICZ

                                                      
                                          STORI YA TATU;
 

 KIUNGO mpya wa Manchester United, Paul Pogba anatarajiwa Ijumaa hii kuichezea kwa mara ya kwanza timu hiyo katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Southampton. 

Nyota huyo ambaye aliondoka kwa mlango wa nyuma mwaka 2012 kwenda Juventus kabla ya kurejea kwa ada ya paundi milioni 89 iliyovunja rekodi ya dunia, alishindwa kuanza katika mchezo uliopita dhidi ya Bournemouth kwasababu ya kutumikia adhabu ya mechi moja aliyotoka nayo Italia.

 Akihojiwa kuhusu mchezo wa kesho, Pogba amesema anajisikia yuko fiti na amekuwa akifanya mazoezi kwa siku 10 lakini itategemea meneja wake Jose Mourinho atakavyoona inafaa.

 Pogba aliendelea kudai kuwa ameshazoea hali hiyo kwani amekuwa akifanya mazoezi hata wakati alipokuwa likizo hivyo anajiona yuko sawa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox