STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 16 Agosti 2016

VIDEO: ANGALI MZEE AKILIMALI ALIVYOWEKWA MTU KATI LEO NA WANACHAMA WA YANGA...... HATEREE

  1. http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2016/08/Yanga-maadhimio.jpg1.Kupokea kwa masikitiko kusudio la kujitoa uenyekiti-Mwenyekiti wetu.
  2. Kulaani taarifa ya anayejiita Katibu wa wazee-Mzee Akilimali.
  3. Kumuomba mdhamini mzee Katundu kumuondoa mzee Akilimali kwenye nafasi ya Katibu wa wazee.
  4. Kuwaomba wanachama watulie na kuuachia uongozi ufanyie kazi suala hili.
  5. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam tunamheshimu lakini kwenye tamasha la Simba alijionesha yeye ni Simba. Tunamuomba atuachie Yanga yetu hatutaki aizungumzie Yanga.
  6. Tunamlaani mtangazaji wa Magic FM Cyprian Musiba asitumie chombo hicho kumtukana Mwenyekiti wetu.
  7. Tunaomba kamati ya utendaji imuite mzee Akilimali imhoji na asimamishwe, wanachama wanamtuhumu kuwa yeye ni Simba.
  8. Hitimisho matawi yote na wanachama wote wanaendelea kumtambua Manji.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox