STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 25 Juni 2014

IVORY COAST NAYO NJE, COLOMBIA NA UGIRIKI ZAUFU KUNDI C KOMBE LA DUNIA

IVORY Coast imekuwa timu ya pili ya Afrika kuaga mapema Kombe la Dunia nchini Brazil baada ya kufungwa mabao 2-1 na Ugiriki usiku huukatika mchezo wa mwisho wa Kundi C.
Mabao yaliyowazamisha Ivory Coast usiku huu yamefungwa na Giorgios Samaras dakika ya 42 na Samaras  90 na ushei kwa penalti.
Giorgios Samaras akishangilia baada ya kuifungia Ugiriki

Wilfried Bony aliifungia bao pekee Ivory Coast dakika ya 74 katika mchezo ambao timu hiyo ilihitaji sare kwenda 16 Bora. Colombia imemaliza na ushindi wa 4-1 dhidi ya Japan na kufikisha pointi tisa, mbele ya Ugiriki yenye pointi nne, Ivory Cpast poiniti tatu na Japan pointi moja.
Kikosi cha Ugiriki kilikuwa; Ugiriki, Karnezis/Glykos dk26, Maniatis, Manolas, Samaras, Kone/Samaris dk11, Karagounis/Gekas dk24, Salpingidis, Torosidis, Lazaros, Sokratis na Cholevas.
Ivory Coast; Barry, Boka, Kolo Toure, Bamba, Serey 6; Kalou 6, Tiote/Bony dk61, Gervinho/Sio, dk83, Drogba/Diomande dk78, Aurier na Yaya Toure.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox