STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 23 Juni 2014

UEFA CHAMPIONZ LIGI 2014/15: DROO RAUNDI ZA AWALI YAFANYIKA!

UCL-2014-15-LOGO 











DROO za Raundi ya Kwanza na ya Pili za Mchujo za UEFA CHAMPIONZ LIGI kwa Msimu mpya wa 2014/15 imefanyika hii Leo huko
Nyon, Uswisi.
Timu kubwa ambazo zitaanza hatua hizi za awali ni pamoja na Celtic FC ya Scotland na FC Steaua Bucureşti ya Romania ambazo Msimu uliopita zilifika Hatua ya Makundi baada ya kuanzia Raundi ya Pili ya Mchujo kama safari hii.

Msimu huu, Celtic itacheza na KR Reykjavík ya Iceland na FC Steaua Bucureşti kucheza na Strømsgodset IF ya Norway.Mechi hizo zitachezwa Tarehe 15 na 16 Julai na Marudiano Tarehe 22 na 23 Julai.
Washindi wa Raundii hiyo watasonga Raundi ya Tatu ya Mchujo na kisha Raundi ya Mwisho ya Mchujo kabla Makundi kuanza.

DROO KAMILI
Raundi ya Kwanza ya Mchujo
(Mechi kuchezwa Julai 1/2 na Marudiano Julai 8/9)
FC Santa Coloma (AND) v FC Banants (ARM)
Lincoln FC (GIB) v HB Tórshavn (FRO)
SP La Fiorita (SMR) v FC Levadia Tallinn (EST)
Raundi ya Pili ya Mchujo

(Mechi kuchezwa Julai 15/16 na Marudiano Julai 22/23)
FC BATE Borisov (BLR) v KS Skënderbeu (ALB)
Maccabi Tel-Aviv FC (ISR) v FC Santa Coloma (ARM)/FC Banants (ARM)
FC Dinamo Tbilisi (GEO) v FK Aktobe (KAZ)
HŠK Zrinjski (BIH) v NK Maribor (SVN)
FC Sheriff (MDA) v FK Sutjeska (MNE)
AC Sparta Praha (CZE) v SP La Fiorita (SMR)/FC Levadia Tallinn (EST)
Malmö FF (SWE) v FK Ventspils (LVA)
ŠK Slovan Bratislava (SVK) v The New Saints FC (WAL)
Celtic FC (SCO) v KR Reykjavík (ISL)
Cliftonville FC (NIR) v Debreceni VSC (HUN)
FK Partizan (SRB) v Lincoln FC (GIB)/HB Tórshavn (FRO)
Legia Warszawa (POL) v Saint Patrick's Athletic (IRL)
FK Rabotnicki (MKD) v HJK Helsinki (FIN)
GNK Dinamo Zagreb (CRO) v VMFD Žalgiris (LTU)
PFC Ludogorets Razgrad (BUL) v F91 Dudelange (LUX)
Valletta FC (MLT) v Qarabağ FK (AZE)
Strømsgodset IF (NOR) v FC Steaua Bucureşti (ROU)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox