STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 11 Novemba 2015

ANGALIA ORODHA YA WACHEZAJI BORA WA MWEZI ENGLAND TANGU KUANZISHWA KWAKE, LEICESTER YAWEKA HISTORIA



Baada ya kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi ligi kuu ya Uingereza,Epl mshambuliaji raia wa Uingereza na klabu ya Leicester City Jamie Vardy amekuwa mchezaji wa kwanza katika klabu hiyo kuchukua tuzo hiyo baada ya miaka 15.

Mara ya mwisho kwa mchezaji wa Leicester kuchukua tuzo alikuwa ni golikipa Tim Flowers alipochukua mwezi wa tisa mwaka 2000 pamoja na kocha  Peter Taylor.

 .

Leicester City forward Jamie Vardy poses with the October Barclays Player of the Month trophy
Jamie Vardy mshambuliaji wa Leicester City ndie mchezaji bora wa mwezi  October 2015

Goalkeeper Tim Flowers (right) was handed the trophy after his sterling September 2000 performances
Goalkeeper Tim Flowers (kulia) akiwa na tuzo September 2000.

Manchester United youngster Anthony Martial won the award in September 2015 before Vardy
Anthony Martial wa Manchester United mshindi wa September 2015 kabla ya Vardy.

ORODHA YA WASHINDI TANGU 1994 KWA KILA MWEZI:`








Sir Alex Ferguson and Eric Cantona were voted March 1996 manager and player of the month, respectively
Sir Alex Ferguson na Eric Cantona wakichukua tuzo March 1996.

Costa Rica and Derby County striker Paulo Wanchope won the award for October 1997
Paulo Wanchope mshambuliaji wa Costa Rica na  Derby County akishinda October 1997.

Trinidad and Tobago's Dwight Yorke (left) lifts his January 1999 award with United strike partner Andy Cole
Mchezaji wa Trinidad na Tobago's Dwight Yorke (kushoto) alitwaa January 1999 apo akiwa na Andy Cole.

Aston Villa's Paul Merson (right) is presented with the Carling February 2000 Player of the Month trophy
Aston Villa's Paul Merson wa Aston Villa (kulia) akitwaa tuzo mwezi  February 2000.


MCHEZAJI ALIE CHUKUA MARA NYINGI ZAIDI TUZO HII:

Teddy Sheringham beams with Ferguson while holding his Player of the Month prize in October 2000
Teddy Sheringham October 2000
Frank Lampard (right) holds the first of his four Player of the Month trophies in September 2003
Frank Lampard (kulia}  September 2003

Dutch winger Arjen Robben (left) lifted the November 2004 trophy while at Jose Mourinho's Chelsea
Arjen Robben (kushoto)na Jose Mourinho November 2004
United's Wayne Rooney (left) and Ferguson hold their matching awards in February 2005
 Wayne Rooney (kushoto) na Ferguson hold  February 2005

MATAIFA VINARA KATIKA TUZO HII:

Danny Murphy picked up the September 2005 prize for his stunning displays with Charlton Athletic
Danny Murphy wa Charlton Athletic September 2005
Andrew Johnson lifts the September 2006 Player of the Month award with then-Everton boss David Moyes
Andrew Johnson akishanda ya mwezi September 2006 akiwa na kocha wa zamani wa EvertonDavid Moyes
Tottenham strike partners Robbie Keane (left) and Dimitar Berbatov (right) shared the award in April 2007
Robbie Keane (kushoto) na Dimitar Berbatov (kulia) wakishinda  April 2007

NAFASI ZA UWANJANI AMBAZO WACHEZAJI WAMECHUKUA MARA NYINGI:
KLABU INYOONGOZA KWA WACHEZAJI WAKE KUTWAA MARA NYINGI ZAIDI NI:

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox