STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 20 Julai 2015

SCHWEINSTEIGER AMZUNGUMZIA MEMPHIS DEPAY

Bastian Schweinsteiger amemuelezea mchezaji mwenza wa Manchester United Memphis Depay kama "kipaji kisichoelezeka", baada ya kumuona katika mchezo wake wa kwanza kwenye mechi maandalizi ya msimu mpya wa ligi.

Kiungo huyo wa kimataifa wa Ujerumani, ambaye amesajiliwa kutoka Bayern Munich kwa kitita cha pauni milioni 14, aliingia kipindi cha pili katika mchezo dhidi ya Club America na kuisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa goli 1-0 katika dimba la CenturyLink.

Akiongea na tovuti ya klabu baada ya ushindi huo, Mjerumani huyo amesema kuwa ana imani kubwa mashabiki wa klabu hiyo wafaidi makubwa kutoka kwa Depay.

"Memphis ni kipaji kisichoelezeka na ana ubora wa hali ya juu na nina uhakika tutafurahia sana atakachokuwa akikifanya uwanjani pindi msimu utakapoanza", alisema.

"Nimefurahi sana kwa sababu kuwaangalia vijana namna wanavyocheza kwa mfano [Andreas] Pereira, Jesse [Lingard] na [James] Wilson. Wote ni wachezaji wazuri.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox