KLABU
ya Tottenham imepangwa kundi moja na Besiktas katika Europa League
wakati Everton imepangwa na Wolfsburg na Lille katika droo iliyopangwa
leo mjini Monaco, Ufaransa.
Beskitas
inayoongozwa na mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Demba Ba, ilitolewa
na Arsenal katika mechi za mchujo za kuwania kupangwa kwenye makundi ya
Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Mchezo
wa kwanza Uturuki, Beskitas ilitoa sare ya bila kufungana na Arsenal,
wakati The Gunners walishinda 1-0 katika mchezo wa marudiano Uwanja wa
Emirates London, bao pekee la Alexis Sanchez.
Champions: La Liga's Sevilla celebrate their Europa League final victory in Turin last year
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni