Rooney akijaribu kufunga kwa kupiga
mpira wa adhabu ndogo katika kipindi cha kwanza mjini Miami, lakini
aligongesha ukuta wa mabeki
Hernandez, akipokonywa mpira na Skrtel
Ander Herrera akipiga mpira, huku akizongwa na kiungo wa Liverpool Jordan Henderson
Kiungo wa United, Juan Mata akijaribu kumiliki mpira mbele ya Martin Skrtel
Antonio Valencia (kulia) alitokea benchi baada ya Luke Shaw kupa majerehi
Javier Hernandez akipiga shuti lakini mpira ukazuiliwa na nahodha wa Liverpool, Gerrard
Kiungo wa United, Ashley Young akimgeuza Glen Johnson
Raheem Sterling akichuana Phil Jones
Jones akimshika usoni Sterling baada ya bwana mdogo kumtoka
Wayne Rooney akimpa vitu vya kiufundi beki wa Liverpool, Martin Skrtel.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni